Saturday, September 27, 2014

DKT BILALI AZINDUA Kivuko Kipya cha MV Tegemeo jijini Mwanza

 Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Mohamed Gharib Bilal akibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi rasmi wa kivuko hicho kipya cha MV Tegemeo.
 Kivuko kipya na chakisasa cha MV Tegemeo kama kinavyoonekana, kimetengenezwa kama mfano wa Meli kutokana na huduma zake.
 Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akimuonesha Makamu wa Rais Dkt. Mohamed Gharib Bilal jinsi kivuko kipya cha MV Tegemeo kitakavyofanya kazi.
 Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme TEMESA Mhandisi Marceline Magesa akimuonesha Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Mohamed Gharib Bilal baadhi ya sehemu ndani ya Kivuko hicho kipya.
 Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Mohamed Gharib Bilal  akiwa pamoja na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kutoka kukagua sehemu ya kuendeshea kivuko hicho
 Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Mohamed Gharib Bilal akiwa pamoja na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli wakifurahia ngoma iliyokuwa ikichezwa ndani ya kivuko hicho kipya.
 Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Mohamed Gharib Bilal kushoto akifurahia jambo na  Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Dkt Charles Tizeba  kabla ya uzinduzi wa Kivuko cha MV Tegemeo.
 Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Mohamed Gharib Bilal kulia akizungumza na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli wakati akiwa njiani ndani ya Kivuko cha MV Misungwi mara baada ya kumalizika kwa sherehe za ufunguzi wa kivuko kipya cha MV Tegemeo.
 Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli kulia akimsikiliza Mbunge wa Buchosa na Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Charles Tizeba  wakati wa  Uzinduzi. 
Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Mohamed Gharib Bilal akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Kivuko kipya cha MV Tegemeo kitakachotoa huduma kati ya Kahunda hadi kisiwa cha Maisome katika Wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza. Wengine walioshikilia utepe ni pamoja na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli , Mbunge wa Buchosa Dkt Charles Tizeba na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo.Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano-Wizara ya Ujenzi

No comments:

Post a Comment