![]() |
| Sehemu ya wananchi wa mtaa wa Malimbe kusanyikoni. |
![]() |
| Afisa Ardhi Idara ya Urasimishaji Makazi holela jijila Mwanza Bw. Maduhu Kazi Ilanga, akijibu hoja motomoto za wananchi zilizowasilishwa. |
![]() |
| Mhasibu wa Wananchi Mwalimu mstaafu Mzee Mahola aliwasilisha |
![]() |
| Akinamama. |
![]() |
| Mwananchi akitoa hoja ya ukarabati wa barabara ya Malimbe - Saut - Mnangani hadi Mkolani Centre ili kupitika kiurahisi. |
![]() |
| Mwananchi huyu alimuomba Mstahiki Meya kuwasiliana na SUMATRA na kuwabana baadhi ya wamiliki wa vyombo vya Usafiri wanaokatiza ruti huku magari yao yakiwa yamesajiliwa kuihudumia njia yote. |
![]() |
| Mwalimu Crecency Njogopa aliwakilisha akina mama kwa kulizungumzia suala la uhaba wa maji. |
![]() |
| Mhandisi wa barabara wa Halmashauri ya jiji la Mwanza Bw. Malulu akijibu hoja na maswali yaliyojitokeza kwenye mkutano wa wananchi waishio mtaa wa Malimbe. |
![]() |
| Mstahiki Meya akitoa majibu na ufafanuzi kwa yaliyowasilishwa. |
![]() |
| Kumalizika kwa mkutano eneo la mtaa wa Malimbe. |
![]() |
| Wananchi wakimpongeza Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza mara baada ya mkutano kumalizika huku akitoa majibu mazuri yakitaalamu kupitia safu ya wataalamu alioongozana nao. |
![]() |
| Akina mama nao hawakuwa nyuma kutoa pongezi ambapo ndani yake waliahidi kutoa ushirikiano kwake na wataalamu hao wakati wa utekelezaji. |















No comments:
Post a Comment