Thursday, September 5, 2013

Uzinduzi wa Top Model, City Sports & Lounge jijini Dar es Salaam


Mwanamitindo, Easterina Albert, akipozi kwa picha kabla ya uzinduzi wa mashindano ya Top Model, ukumbi wa City Sports & Lounge usiku wa kuamkia leo. (Picha zote na Kassim Mbarouk-www.bayana.blogspot.com)
Mwanamitindo, Axsaritha Vedastus akiwa katika pozi maalum.
Mwanamitindo, Angel Adrian, akipozi kwa picha kabla ya uzinduzi wa mashindano ya Top Model, ukumbi wa City Sports & Lounge usiku wa kuamkia leo. 
Mwanamitindo Darline Mmary, akiwa katika pozi.
Mwanamitindo Cecilia Emmanuel, akiwa katika pozi.
Mwanamitindo, Catherine Mabula, akiwa katika pozi.
Wanamitindo kutoka kushoto, Agel Adrian, Catherine Mabula, Easterina Albert, Axsaritha Vedastus, Darline Mmary na Cecilia Emmanuel, wakipozi kwa picha ya pamoja wakati wa uzinduzi huo.
Wanamitindo kutoka kushoto, Agel Adrian, Catherine Mabula, Easterina Albert, Axsaritha Vedastus, Darline Mmary na Cecilia Emmanuel, wakipozi kwa picha ya pamoja wakati wa uzinduzi huo.
Wanamitindo kutoka kushoto, Agel Adrian, Catherine Mabula, Easterina Albert, Axsaritha Vedastus, Darline Mmary na Cecilia Emmanuel, wakipozi kwa picha ya pamoja wakati wa uzinduzi huo.
Wanamitindo kutoka kushoto, Agel Adrian, Catherine Mabula, Easterina Albert, Axsaritha Vedastus, Darline Mmary na Cecilia Emmanuel, wakipozi kwa picha ya pamoja wakati wa uzinduzi huo.
Viongozi wa Kamati ya Top Model, wakimsikilza Mwenyskiti maandalizi ya mashindano hayo, Jackson Kalikumtim katika uznuzi huo.
Viongozi wa Kamati ya Top Model, wakimsikilza Mwenyskiti maandalizi ya mashindano hayo, Jackson Kalikumtim katika uznuzi huo.
Mgeni rasmi katika uzinduzi huo, Asia Idarous, akizungumza katika hafla hiyo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Top Models, Jackson Kalikumtima, akizungumza wakati wa uzinduzi huo.

Mgeni rasmi katika uzinduzi wa mashindano ya kumsaka Mwanamitindo Bora nchini (Tanzania Top Model), Asia Idarous, akibonyeza kitufe cha rimoti ikiwa ni ishara ya kuzindua mashindano hayo katika Ukumbi wa Mgahawa wa City Sports & Lounge, Dar es Salaam juzi. Kulia ni Mwenyekiti wa kamati ya mashindano hayo, Jackson Kalikuntima.
Mwanamitindo Axsaritha Vesastus, akipita kwa mbwembwe mbele ya hadhira kuonesha moja ya mavazi.


Mwanamitindo Cecilia akipozi wakati akipita kwenye uzinduzi huo.
 
Axsaritha Vesastus, akipita na na moja ya mavazi kutokea.
Angel Adrian akipita akiwa amevaa gauni la kutokea.
Wanamitindo kutoka kushoto, Angel Adrian, Catherine Mabula, Easterina Albert, Axsaritha Vedastus, Darline Mmary na Cecilia Emmanuel, wakipozi kwa picha ya pamoja wakati wa uzinduzi huo. 

No comments:

Post a Comment