Saturday, May 19, 2012

ANITHA MBOWE AIBUKA MISS REDDS NJIRO ARUSHA



Redd's Miss Njiro 2012,Anitha Mbowe (katikati) akiwa na Mshindi wa Pili,Winmava John (kulia) na wa Tatu,Husna Ally mara baada ya kumalizika kwa kinyang'anyiro hicho muda mfupi uliopita katika Ukumbi wa Klabu Triple A,Jijini Arusha.

No comments:

Post a Comment