Imenilazimu kuanzisha kampeni ya kuwasaidi watoto baada ya kuona na kusikia vitendo vya
ukatili dhidi ya watoto naomba uungane nami katika kampeni hii ya
kutetea haki za watoto
Kufuatia kampeni kutakuwa na kundi la wanaharakati ambalo Kundi hili ni kundi huru halina ubaguzi wa rangi kabila wala dini Nakuomba uwe balozi wa watoto popote pale ulipo kumbuka bila wewe hakuna mtoto na bila mtoto hakuna future ya kesho .
Nakuomba ushirikiano wako sana kumbuka kampeni hii ni kusaidia watoto
tu na kuhakikisha haki zao zinapatikana kutokana na manyanyaso ya
kuozeshwa ,kupigwa kupita kiasi,kubakwa,kulawitiwa,kuchomwa moto .
Kama binadamu mwenzangu nakuomba uwe mwanaharakati katika kutetea watoto kwa kutoa taarifa za kuweza kuwa saidia .
Kwa mawasiliano ya simu 0755 656 445 /0717 830 580 ungana nami katika kusaidia watoto
No comments:
Post a Comment