Tuesday, June 18, 2013

PICHA MBALIMBALI KATIKA MAOMBOLEZO YA NDUGU ZETU WALIOATHIRIWA NA BOMU



Hivi sasa hali iliyopo soweto mkoani Arusha, ni ya utulivu huku watu wakisubiri viongozi wa chama hicho wafike eneo hilo, huku pia Makamu wa Raisi akitegemewa kuwasili eneo hilo.
Hali ya ulinzi iko shwari hasa ukizingatia kuna uwepo wa askari mahiri wa JWTZ wakiwa pamoja na FFU na jeshi la Polisi Tanzania. ambao walifika eneo hilo mapema asubuhi.




No comments:

Post a Comment