Thursday, December 26, 2013

Ibada ya Krismasi kwa Makanisa ya Azania Front na St. Joseph ilivyoendeshwa jijini Dar es Salaam


Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Alex Malasusa, akiwa nje ya Kanisa, akiwaombea waumini wa kanisa hilo, usharika wa Azania Front, Dar es Salaam, mara baada ya kumalizika kwa ibada ya Krismasi, kanisani hapo leo.
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Alex Malasusa, akiwatakia heri ya Krismasi waumini wa kanisa hilo, usharika wa Azania Front, Dar es Salaam, mara baada ya kumalizika kwa ibada ya Krismasi, kanisani hapo leo. Kulia ni Mchungaji Charles Mzinga.
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Alex Malasusa, akiwapa mkono wa Krismasi waumini wa kanisa hilo, usharika wa Azania Front, Dar es Salaam, mara baada ya ibada iliyofanyika kanisani hapo leo.
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Alex Malasusa, akizungumza na waumini wa kanisa hilo, usharika wa Azania Front, Dar es Salaam, mara baada ya ibada Krismasi, iliyofanyika kanisani hapo leo.
Mchungaji akiwa katika mahubiri kwenye Kanisa la Mtakatifu Joseph, Jimbo Kuu la Dar es Salaam leo.
Waumini wa Kanisa Katoliki, wakiwa katika ibada ya Krismasi katika Kanisa la Mtakatifu Joseph, Jimbo Kuu la Dar es Salaam leo

No comments:

Post a Comment