Saturday, April 30, 2016

HATARI LAKINI SALAMA ABIRIA WANUSURIKA AJALI YA NDEGE MJINI BUKOBA HII LEO


Watu kadhaa wamenusurika baada ya ndege ya Shirika la Ndege la Auric Air waliyokuwa wakisafiria kupata ajali katika Uwanja wa Ndege wa Manispaa Bukoba ilipokuwa ikitua na rubani kupoteza uelekeo  kama inavyo onekana pichani.

Ndege hiyo ilikuwa ikisafiri kutoka Jijini Mwanza ,tukio limetokea majira ya saa nne asuhuhi ya leo Jumamosi April 30,2016.

Chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana mpaka sasa

No comments:

Post a Comment