Friday, June 1, 2012

DRC: Mapigano yaendelea mashariki mwa Kongo


Raia wa Kongo wayahama makaazi yao kutokana na mapigano yanayoendelea Raia wa Kongo wayahama makaazi yao kutokana na mapigano yanayoendelea


Wakaazi wa kabila la watutsi wanaoishi katika mji wa Kitsanga wameanza kuyahama makaazi yao.
Wakati mapigano yakiendelea baina ya waasi wa M23 na jeshi la serikali katika Jamhuri ya demokrasia ya Congo, wakaazi wa kabila la watutsi wanaoishi katika mji mdogo wa Kitsanga wameanza kuyahama makaazi yao wakihofia hujuma zinazopangwa dhidi yao na waasi wa kihutu wa Rwanda wa FDLR walioko kwenye viunga vya mji huo

No comments:

Post a Comment