Sunday, June 17, 2012

KASFETA IDM MZUMBE YAFANYA MAHAFALI

wahitimu wa chuo kikuu cha IDM Mzumbe jana walifanya mahali ya katika chuo hicho ikiwa ni pamoja na kuwapongeza viongozi wastaafu na kuwakaribisha viongozi wapya amabpo vyeti vilitolewa pamoja na zawadi pia mgeni rasmi wa tukio hilo alikuwa ni PASTOR SOSSY MABERE

No comments:

Post a Comment