Hii ni baada ya kinyang'anyiro hicho kufanyika jana pale Tabata
Mshindi
wa Kinyang'anyiro cha Redd's Miss Tabata 2012,Noela Michael (katikati)
akiwa pamoja na mshindi wa pili,Diana Simon (kushoto) na wa
tatu,Wilhemina Mvungi (kulia) muda mfupi baada ya kumalizika kwa
kinyang'iro hicho,usiku wa kuamkia leo kwenye Ukumbi wa Da' West
Park,Tabata jijini Dar. Tano Bora. Kumi Bora. Washiriki Wote wakipita
kwenye steji.
Warembo
waliofanikiwa kuingia tano Bora wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya
kutangazwa kwa mshindi wa shindano hilo usiku wa kuamkia leo.
(Picha kwa hisani ya Michuziblog.)
No comments:
Post a Comment