Mkurugenzi mkuu wa Zachwa Investment Bw. Muganyizi (kulia) pamoja na Mr. Nyerere wanahusika .
DJ Slay (kulia) wa pili kutoka kulia ni Bi.Jane Zachwa, anayefuata ni Abera Kamara a.ka MALIKIA na mwisho ni Bi.Jane Zachwa ambaye ndiye Chief Judge wa shindano hili huku hao wengine wakisaidiana naye katika shughuli nzima ya kuaji ijapo dukuduku lilitanda kwa umma uliofika kuchungulia shughuli hiyo kama majaji wana elimu kiduchu juu ya mambo ya sanaa mi SIMO hiyo ilikuwa minongono TU.BASATA kazi wanayo.
Pamoja na majaji wengine
Washiriki wakicheza kwa woga huku wakitokwa kijasho juu ya nani atatemwa na nani atabebwa.
wakati wa kila mtu kujidadavua ukawadia.
kwa upande wa wadau wakachoka kusubiri kuwaona akiana JB bila mafanikio pozi za usingizi zikaanza kuwanyemerea.
Meza kuu ikajitaidi kuchangamsha ukumbi lakini haa wapi?
Bwana Jamali Kalumuna a.k.a jamco akiwaza na kuwazua ni jinsi gani atawabwaga baadhi ya washiriki ambao vigezo vyao ni ziro.
group la wasafi clasic la Kagera wakiwaza plani B baada ya kujitokeza mizengwe ya kutaka kuwachakachua elfu sitini malipo ya shoo yao.
burudani ilikuwepo ila siyo ile iliyo haidiwa kwahiyo bado mambo yalibaki kukwa...............
Baadae watu wakakubali yaishe.Hii ina maana gani? Picha za washindi tunakuletea hivi punde.usisign ou
No comments:
Post a Comment