Saturday, October 20, 2012

ASKARI WA JWTZ WAMSHAMBULIA TRAFIKI KWENYE MATAA YA UBUNGO JIJINI DAR



















Wanajeshi wanaokadiriwa kuwa 50 kwa pamoja wamemshambulia trafiki kwenye taa za ubungo na kuondoka kwa madai kuwa kawachelewesha kwenye foleni, baada ya kuondoka magari hayo ya jeshi yalizuiwa kwa muda wa zaidi ya saa moja maeneo ya Tabata dampo.kabla ya kuachiwa kuendelea na safari.SOURCE Kajunason Blog,

No comments:

Post a Comment