Saturday, June 15, 2013

NEEMA MALITY AIBUKA KUWA MSHINDI REDDS MISS IRINGA 2013



Mshindi wa Redds Miss Iringa,Neema Mality akiwapungia mkono washabiki mbalimbali wa onesho hilo waliofika ukumbini humo hapa jana kwenye ukumbi wa Highland hall.
kutoka kulia ni mshindi no 2 Lucy  George, kushoto ni mshindi no 3 Lilian Samson na katikati ni kinara wa Redds Miss Iringa 2013,Neema Mality akitoa tabasamu la nguvu.
Pichani ni washiriki wa Redds Miss Iringa waliongia tano bora safi kabisa.Picha zote kwa hisani ya Francis Godwin wa mtandao wa MatukioDaima-Iringa.

No comments:

Post a Comment