Saturday, September 21, 2013

Timu ya SHIMIWI ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo yaagwas


Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Bi Sihaba Nkinga (katikati) ambaye pia ni mgeni rasmi kwenye hafla ya kuiaga timu ya Wizara akiwasili Uwanja wa Taifa huku akiwa amesindikizwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Profesa Elisante Ole Gabriel (kulia) pamoja na viongozi wengine kushiriki hafla ya kuwaaga wanamichezo wa SHIMIWI leo jijini Dar es Salaam. (Picha zote na Benedict Liwenga-Maelezo)
Mkurugenzi Msaidizi Utawala Bw. Titus Mkapa akitoa maelezo machache kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kwenye hafla ya kuiaga timu ya Wizara inayakwenda kwenye mashindano ya SHIMIWI jijini Dodoma, hafla hiyo imefanyika Uwanja wa Taifa leo jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Bi Sihaba Nkinga (kulia) akiwaasa wanamichezo wa timu ya Wizara kuzingatia maadili na nidhamu katika michezo wanayokwenda kushiriki mjini Dodoma.
Bi. Magreth Mtaki akisoma risala mbele ya mgeni rasmi wakati wa hafla ya kuiaga timu ya Wizara inayoshiriki kwenye michezo ya SHIMIWI leo jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya watendaji Wakuu wa Wizara ya Habari pamoja na asasi zake wakimsikiliza Katibu Mkuu wakati akihutubia kwenye hafla ya kuiaga timu ya Wizara inayoshiriki kwenye michezo ya SHIMIWI leo jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya watendaji Wakuu wa Wizara ya Habari pamoja na asasi zake wakimsikiliza Katibu Mkuu wakati akihutubia kwenye hafla ya kuiaga timu ya Wizara inayoshiriki kwenye michezo ya SHIMIWI leo jijini Dar es Salaam. 
Bi. Magreth Mtaki akionyesha zawadi ya fedha taslimu kwa washindi walioshinda michezo ya SHIMIWI mwaka uliopita. 
Baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakiwa makini kufuatilia matukio mbalimbali kwenye hafla ya kuwaaga wanamichezo wanaokwenda kushiriki mashindano ya SHIMIWI mjini Dodoma.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Bi Sihaba Nkinga (katikati mstari wa mbele) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Wizara. Watatu kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Profesa Elisante Ole Gabriel.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Bi Sihaba Nkinga (katikati mstari wa mbele) akiwa katika picha ya pamoja na timu ya Wizara ya michezo ya SHIMIWI (HUMI Sports Club) leo jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Bi Sihaba Nkinga (katikati mstari wa mbele) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Wizara. Watatu kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Profesa Elisante Ole Gabriel.

No comments:

Post a Comment