Taarifa ya CNN imesema Madaktari wa Mzee huyu ambao walikua wakipokezana kukaa nae kwa saa 24, wamesema Mzee Mandela kwenye kipindi hiki cha mwisho dawa zilimzoea mpaka zikashindwa kufanya kazi, yani mwili wake ulikua tayari umezoea dawa na hata ziwe kali vipi… hazikuweza kufanya kazi kikamilifu.
Friday, December 6, 2013
Breaking: Mzee Nelson Mandela amefariki
Taarifa ya CNN imesema Madaktari wa Mzee huyu ambao walikua wakipokezana kukaa nae kwa saa 24, wamesema Mzee Mandela kwenye kipindi hiki cha mwisho dawa zilimzoea mpaka zikashindwa kufanya kazi, yani mwili wake ulikua tayari umezoea dawa na hata ziwe kali vipi… hazikuweza kufanya kazi kikamilifu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment