Sunday, June 11, 2017

RPC TANGA:AWATAKA BODABODA KUACHA KUTUMIKA KUBEBA WAHAMIAJI HARAMU NA DAWA ZA KULEVYA


 Kamanda wa Polisi Mkoani
Tanga,Benedict Wakulyamba akizungumza na waendesha pikipiki maarufu kama
bodaboda wilaya Muheza wakati wa  ufunguzi wa mpango wa kutoa elimu
waendesha bodaboda mkoani hapa ambao ulihudhurwa na wadau mbalimbali
ikiwemo madereva wa bodaboda kulia ni Kamanda wa kikosi cha Usalama
barabarani Mkoani Tanga (RTO) Nassoro Sisiwayah kushoto ni Kaimu Mkuu wa
Polisi wilaya ya Muheza (OCD) ambapo aliwataka madereva wa bodaboda
kuacha kutumika kuwabeba wahamiaji haramu na dawa za kulevya kwani
watakaokamatwa hawatapona
 Kamanda wa kikosi cha Usalama
barabarani Mkoani Tanga (RTO) Nassoro Sisiwayah akizungumza katika kikao
hicho kushoto ni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga,Benedict Wakulyamba na
kulia ni Katibu wa Bodaboda wilayani Muheza,Fransic Gerald
 Kaimu Mkuu wa Polisi wilaya ya
Muheza,(OCD) akizungumza katika kikao hicho kulia ni Kamanda wa Polisi
Mkoa wa Tanga,Benedict Wakulyamba kushoto ni Mwakilishi wa Mkurugenzi
Mtendaji wa APEC Bahati Alex
 Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji
wa APEC Bahati Alex akizungumza katika kikao hicho wa pili kulia ni
Kamanda wa Polisi Mkoani Tanga,Benedict Wakulyamba kushoto mwenye miwani
ni 
Kaimu Meneja wa
Mfuko wa Mafao ya Wastaafu (GEPF) Erick Haule
 Katibu wa Bodaboda
wilayani Muheza,Fransic Gerald akizungumza katika kikao
hicho
 Kaimu Meneja wa Mfuko wa
Mafao ya Wastaafu (GEPF) Erick Haule 
aliwataka madereva wa bodaboda kujiunga na
mfuko huo
kupitia mpango wa bodaboda Scheme ili waweze kunufaika
  Kamanda wa Polisi Mkoani
Tanga,Benedict Wakulyamba katikati akifuatilia maswali mbalimbali
kulia ni 
Kamanda
wa kikosi cha Usalama barabarani Mkoani Tanga (RTO) Nassoro
Sisiwayah
  Waendesha pikipiki
wilayani Muheza maarufu kama
bodaboda wakimsikiliza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga,Benedict
Wakulyamba wakati wa kikao hicho
 Waendesha pikipiki wilayani
Muheza maarufu kama bodaboda wakimsikiliza Kamanda wa Polisi Mkoa wa
Tanga,Benedict Wakulyamba wakati wa kikao hicho
 Waendesha pikipiki
wilayani Muheza maarufu kama
bodaboda wakimsikiliza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga,Benedict
Wakulyamba wakati wa kikao hicho 
Habari kwa hisani ya Blog ya
Kijamii ya Tanga Raha

No comments:

Post a Comment