Friday, August 18, 2017

FULL VIDEO: Tundu Lissu afichua kilichochelewesha Bombadier kufika


Leo August 18 2017 Mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu leo amekutana na wanahabari ili kuzungumzia mambo mbalimbali ikiwemo ishu ya ndege ya Bombadier iliyotarajiwa kufika nchini mwezi uliopita.

Lissu amedai ndege hiyo imekamatwa na inashikiliwa na kampuni ambayo inaidai Serikali ya Tanzania, Unaweza kubonyeza play hapa chini kuitazama


VIDEO: Tundu Lissu adai kufuatwa na usalama kila anapokwenda, Bonyeza play hapa chini kutazama

No comments:

Post a Comment