Friday, June 15, 2018

SHUKRANI NA KUSITISHA MATANGAZO NA MACHAPISHO YETU RASMI

G SAMBWETI


Kwanza uongozi mzima wa G SAMBWETI blog  unatoa shukrani za dhati kwa wale wote waliowahi kutembelea blog hii ambao ni  watu zaidi ya laki nane elfu thelathini mia  tatu na arobaini na tatu (833343) tangu ilipoanzishwa hapo mwaka 2011 hadi  leo 15/06/2018

hatuna budi kuwashukuru sana kwani nilipenda kuendelea kuwahabarisha bali sheria za TCRA zinanilazimu  kusitisha  uchapishaji  katika gazeti lenu hilipendwa la  G sambweti blog.

pia napenda kutoa shukrani kwa wale wote waliokuwa wakisiliza salvation radio tz online kuwa matangazo hayo kwa sasa yamesimama rasmi.

Tutaonana tena  na kurudi hewani Mungu akipenda
salvation radio


asanteni sana nini mimi Gasper sambweti
0755 656445

sambweti@gmail.com

No comments:

Post a Comment