Saturday, June 2, 2012

HUYU NDIO RAFIKI WA AFANDE SELE ALIEFARIKI KWA AJALI.



Marehemu Mbudu Square na Afande Sele walipokuja Clouds FM siku kadhaa zilizopita.
Habari kubwa sasa hivi kwa wadau wa muziki Morogoro ni kuhusu kifo cha msanii wa hiphop Mbudu Square, rafiki wa karibu na aliefanya kazi kwa ukaribu na Afande Sele, Bele 9 na wengine, alikua maarufu sana Morogoro kwa sababu ya kuitumia vizuri nafasi aliyokua anapata kwenye show mbalimbali za Morogoro.
Mbudu amefariki jana kwa ajali ya pikipiki Morogoro ambapo alikua kapakizwa, na chanzo cha ajali ni gari lililokuja kwa nyumba na kuigonga pikipiki, Mbudu alifariki dunia kwenye eneo la ajali kutokana na kupasuka kichwa.
Mpaka anafariki dunia, Mbudu alikua akiperform sana pamoja na Afande Sele katika showz mbalimbali Tanzania.
                                          habari kwa hisani ya millardayo.com

No comments:

Post a Comment