Majaji
wa shindano la BSS wakiwa katika ukumbi wa Triple A
tayari kwaajili ya usahili wa kuwasaka washiriki wa shindano hilo
kwaajili ya kuwakilisha Mkoa wa Arusha katika shindano
litakalofanyika jijini Dar es Salaam,
kutoka kushoto ni Master J, katikati Rita Paulsen na Salama Jabir
tayari kwaajili ya usahili wa kuwasaka washiriki wa shindano hilo
kwaajili ya kuwakilisha Mkoa wa Arusha katika shindano
litakalofanyika jijini Dar es Salaam,
kutoka kushoto ni Master J, katikati Rita Paulsen na Salama Jabir
Kushoto
ni Afisa Masoko kampuni ya simu ZANTEL kanda ya kaskazini Bw.Melitus
Kimolo akizungumzia juu ya suala la uchangishaji damu ambapo yeye
mwenyewe alichangia damu,,zoezi ambalo lilikuwa pia likiendelea katika
viwanja hivyo,,,,Kulia ni Mkurugenzi wa Masoko Bw.Deepak Kumar Gupta
Daktari akiwa anamtoa damu kijana aliyejitokeza kuchangia damu kwa hiari
No comments:
Post a Comment