Tuesday, July 3, 2012

Ebwanaaaaaaeeeeeeeee walazeeee ni RAP RACE na matokeo na washindi ndio hawa kumbuka ni GRAND MASTER REGES & AQ CLUBS wanabeng mbaya

baada ya mashindano ndani ya club AQ ya jijini ARUSHA mashindano yalifanyika na leo nakuletea mshindi wa kwanza ambae ni GOODLUCK ambaye afanya tarck yamoja na video yake ndani ya studio matata jijini Arusha za Grandmaster records chini producer JOHN B akiwa na Mr.D
Na huyu ndie mshindi wa pili wa RAP RACE anaitwa TIDO LEE naye atarekodi track ya audio ndani ya grandmaster records studio matata jijini arusha .

No comments:

Post a Comment