Tuesday, October 30, 2012

Marekani yazinga msaada wa Algeria kuivamia kijeshi Mali


Mpango huo wa kijeshi utaihusisha serikali ya Mali na majirani zake wa Afrika ya Magharibi wakiongoza kijeshi dhidi ya waasi wa kaskazini. Marekani na Umoja wa Ulaya zinauunga mkono mpango huo.

No comments:

Post a Comment