Tuesday, April 30, 2013

MSANII ARUSHA KUACHIA KOMBORA LA KISIASA ni Kapuku Digital a.k.a Mitishamba boy


p1fulu.jpg

p5.jpg
p13.jpg



Rapa machachari kutoka mkoani Arusha Kapuku Digital a.k.a Mitishamba

boy anatarajiwa kuachia mixtape gumzo inayo kwenda kwa jina la KABURI
LA FISADI Vol.1 ambayo inatayarishwa nastudio mbali mbali za jijini
Arusha mixtape hiyo imesha kamilika kwa sasa ipo katika hatua za
mwisho za kuachiwa kwenye mitandao. Kapuku ni rapa machachari sana
anayetisha kwa street mixtape na GANG RAP kapuku amehit mtaani kwa
nyimbo zake kama MUNGU NIPE A TOWN nanyingine nyingi

p17.jpg
p28.jpg
p32.jpg
p38.jpg

No comments:

Post a Comment