Tuesday, July 2, 2013

Uzinduzi wa Tamasha la Filamu Grand Malt lafana jijini mwanza



 Wasanii Raymond Kigosi na Steven nyerere wakiwafurahisha washabiki wao kwenye uzinduzi wa Tamasha la filamu la Grandmalt Tanzania Open Fillim Festival jijini Mwanza ambalo liliwashirikisha wasanii wote wa filamu nchini na kuanza jana kwenye kiwanja cha Nyamagana chini ya udhamini wa kinywaji cha Grandmalt na Isamilo Lodge ya Mwanza
 Wasanii wakibadilishana mawazo na baadhi ya wasanii chipukizi wa jiji la Mwanza kwenye uzinduzi wa Tamasha la filamu la Grandmalt Tanzania Open Fillim Festival jijini Mwanza ambalo liliwashirikisha wasanii wote wa filamu nchini na kuanza jana kwenye kiwanja cha Nyamagana chini ya udhamini wa kinywaji cha Grandmalt na Isamilo Lodge ya Mwanza.
 
 Wananchi mbalimbali wa jiji la Mwanza wakishangilia kwa nguvu kwenye uzinduzi wa Tamasha la filamu la Grandmalt Tanzania Open Fillim Festival jijini Mwanza ambalo liliwashirikisha wasanii wote wa filamu nchini na kuanza jana kwenye kiwanja cha Nyamagana chini ya udhamini wa kinywaji cha Grandmalt na Isamilo Lodge ya Mwanza
 Wasanii wakiwa katika picha ya pamoja kwenye uzinduzi wa Tamasha la filamu la Grandmalt Tanzania Open Fillm Festival jijini Mwanza, ambalo liliwashirikisha wasanii wote wa filamu nchini na kuanza jana kwenye kiwanja cha Nyamagana chini ya udhamini wa kinywaji cha Grandmalt na Isamilo Lodge ya Mwanza.

No comments:

Post a Comment