Monday, November 25, 2013

KINANA NA UJUMBE WAKE AWASILI WILAYANI RUNGWE TAYARI KWA ZIARA YAKE


Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na viongozi mbalimbali wa chama hicho mara baada ya kuwasili mpakani mwa Wilaya ya Kyela na Rungwe mapema leo asubuhi,wakati ujumbe huo ulipokuwa ukiwasili wilayani Rugwe kwa ziara ya siku 11 ndani ya mkoa wa Mbeya.pichani shoto sambamba ni Katibu wa NEC,Itikasi na Uenezi ,Nape Nnauye akisalimiana na wanachama wa CCM.
Kada Maarufu wa CCM,Bwa. Richard kasesela akisalimiana na Katibu wa NEC,Siasa na Mahusiano ya Kimataifa,Dkt.Asharose Migiro mara baada ya kuwasili mpakani mwa Wilaya ya Kyela na Rungwe mapema leo asubuhi,wakati ujumbe huo ulipokuwa ukiwasili wilayani Rugwe kwa ziara ya siku 11 ndani ya mkoa wa Mbeya.pichani shoto sambamba ni Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi ,Nape Nnauye akisalimiana na wanachama wa CCM.
"Karibu sana nyumbani Kaka Nape"...Kada Maarufu wa CCM,Bwa. Richard kasesela akisalimiana  Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi ,Nape Nnauye
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana na ujumbe wake (haupo pichani) akizungumza na Wajumbe Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe ndani ya ukumbi wa Halmashauri kuu ya Rungwe mapema leo.
Msafara wa ziara ya Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana na Ujumbe wake ukipokelewa mpakani mwa Wilaya ya Kyela na Rungwe mapema leo asubuhi,wakati ujumbe huo ulipokuwa ukiwasili wilayani Rugwe kwa ziara ya siku 11 ndani ya mkoa wa Mbeya.

No comments:

Post a Comment