Monday, September 5, 2016

Kesi ya upinzani kupinga ushindi wa Edgar Lungu yatupwa mbali Zambia


Rais Edgar Lungu wa Zambia
Image captionRais Edgar Lungu wa Zambia

Mahakama ya kikatiba nchini Zambia imetupilia mbali kesi ya mgombea wa urais wa chama cha upinzani cha United Party for National Development Hakainde Hichilema na mgombea mwenza Geofrey Bwalya dhidi ya uchaguzi wa rais Edgar Lungu.

No comments:

Post a Comment