Wednesday, May 30, 2012

Rais wa Ivory Coast awasalini Arusha katika mkutano wa AFDB

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Rais Allasane Ouattara uwanja wa ndege wa Kimataifa wa  Kilimanjaro jijini Arusha leo, akiwa ni mmoja wa wageni mashuhuri kuhudhuria mkutano wa afDB unaofanyika Jijini humo.

No comments:

Post a Comment