Maafisa nchini Kenya wanasema raia wawili wa Iran waliokamatwa nchini humo hivi karibuni na kugunduliwa kasha la mripuko, walipanga kuyashambulia maeneo yenye maslahi ya Marekani, Uingereza , Israel na Saudi Arabia.
Wednesday, July 4, 2012
Raia wa Iran wakamatwa na kasha la mripuko nchini Kenya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment