![]() |
| Naibu waziri wa Maji Mh Dk Binilith Mahenge akiwa pamoja na DC Musoma Jackison Msome na mkurugenzi wa MUWASA Gines Kaduei |
![]() |
| Sehemu ya mitambo ya maji |
![]() |
| Naibu waziri wa Maji Mh Dk Binilith Mahenge akipewa maelezo na ufafanuzi juu ya mradi huo na mkurugenzi wa MUWASA Gines Kaduei |
![]() |
| Chanzo cha maji cha Muwasa katika ziwa victoria ambacho kinahitajika kuhamishwa kwa gharama ya bilioni 41 kwaajili ya kuwezesha mji wa Musoma kupata maji ya uhakika |
![]() |
| Sehemu ya mji wa Butiama |
![]() |
| Viongozi wa wilaya ya Butiama wakiwa na naibu waziri wa maji wa kwanza kushoto ni Magina Magesa m/kiti wa halmashauri ya Musoma |
![]() |
| Msafara. |
![]() |
| Chanzo cha maji cha mradi wa Mugango,Kiabakari hadi Butiama |
![]() |
| Maelezo kwa kina yalifanyika hapa. |
![]() |
| Bango la wafanyakazi wa maji Mugango/Butiama ambao wanaidai serikali miezi 26 hadi miaka mitatu |
![]() |
| Sehemu ya mji wa Butiama |
![]() |
| Naibu waziri wa maji akiangalia Bwawa la Kiarano |











No comments:
Post a Comment