Saturday, June 29, 2013

WATANZANIA WANAHITAJI MAJIBU KWA MASWALI HAYA KUTOKA SERIKALINI JUU YA UJIO WA RAIS OBAMA


1) Wamarekani kuingiza majeshi na makachero zaidi ya 1500 ndani ya nchi huru na kusimamia ziara ya Rais wao, hii si aina ingine ya kuitawala Tanzania kwa muda?

2) maafisa wa Serikali na mawaziri kufanyiwa mchujo, ili wale tu kupata mawaziri na maafisa wenye hadhi ya kuwa kwenye msafara wa Obama , hii si inazidi kuthibitisha kuwa Obama sio tu anakuja kama Mgeni, ila anakuja kama mwenye mamlaka ya juu nchi huru?

3)je hii fedheha kwa wale mawaziri ambao utawala wa Obama utaona haufurahishwi nao, hivyo wao kutotakiwa kwenye kumpokea Rais Obama, je hii si kudhalilisha Itifaki na Protokali za Tanzania? 

4) je, hii ya kuwatangazia wananchi wasije Dar es salaam kwa kuwa Obama annakuja, nayo haizidi kuthibitisha haya kuwa pengine ni maelekezo toka kwenye mamlaka kuu "marekani" ?

5) Akiwa ziarani Senegal Rais Obama aliendelea kusisitiza Africa kubadilika na kukubali ndoa za jinsia moja, je Tanzania iko Tayari kusema HAPANA kwa ndoa za jinsia moja, au itachekea hizo dola milioni 800 zenye masharti?

6) hii miradi ya Simbion/dowans/richmond atakayotembelea Obama,

No comments:

Post a Comment