Thursday, July 11, 2013

SHUGHULI MBALIMBALI ZA RAIS KIKWETE IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Balozi wa Sweden nchini Mhe Lennarth Hjelmaker aliyeonana naye kwa ajili ya kuwasilisha Ujumbe kutoka Serikali yake leo Ikulu, jijini Dar es salaam.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Balozi wa Sweden nchini Mhe Lennarth Hjelmaker aliyeonana naye kwa ajili ya kuwasilisha Ujumbe kutoka Serikali yake leo Ikulu, jijini Dar es salaam. 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe Hamisi Amir Msumi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Maadili la Viongozi wa Umma leo Ikulu jijini Dar es salaam.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe Hilda A. Gondwe kuwa Mjumbewa Baraza la Maadili la Viongozi wa Umma leo Ikulu jijini Dar es salaam.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe Celina Augustine M. Wambura kuwa Mjumbe wa Baraza la Maadili la Viongozi wa Umma leo Ikulu jijini Dar es salaam.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali wakipiga picha ya pamoja na Mwenyekiti mpya wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Serikali Mhe Hamisi Amiri Msumi pamoja na wajumbe wapya Mhe Hilda A. Gondwe na Mhe Celine Augustine M. Wambura na viongozi wa Tume hiyo leo Ikulu jijini Dar es salaam.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja na  Mhe Hamisi Amir Msumi na familia yake baada ya kumuapisha kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Maadili la Viongozi wa Umma leo Ikulu jijini Dar es salaam.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya kumbukumbu na  Mhe Hilda A. Gondwe  na familia yake baada ya kumuapisha kuwa Mjumbewa Baraza la Maadili la Viongozi wa Umma leo Ikulu jijini Dar es salaam.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na Mhe Celina Augustine M. Wambura na familia yake baada ya kumuapisha kuwa Mjumbe wa Baraza la Maadili la Viongozi wa Umma leo Ikulu jijini Dar es salaam. 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Mansoor Daya Chemicals alipokutana naye leo Ikulu jijini Dar es salaam.
 Rais Jakaya Kikwete akiongea na Mkurugenzi Mkuu wa  Irrigation System Ltd Bw. Choudhari Pramot na ujumbe wake aliokutana nao leo Ikulu  jijini Dar es salaam.
 Rais Jakaya Kikwete Mkurugenzi Mkuu wa  Irrigation System Ltd Bw. Choudhari Pramot baada ya maongezi naye leo Ikulu  jijini Dar es salaam.PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment