Wednesday, February 26, 2014

RAIS MSTAAF ALI HASSAN MWININYI AFUNGUA MKUTANO WA SIKU MBILI WA WADAU WA PSPF DAR ES SALAAM LEO

 Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi, akizindua huduma mpya ya PSPF Pamoja nawe na PSPF call centre, itolewayo na mfuko wa Pensheni wa PSPF, baada ya kufungua Mkutano mkuu wa tatu wa wadau wa mfuko huo Dar es Salaam jana. Kulia ni Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima.
 Viongozi wakiongozwa na Mgeni rasmi wakiwa jukwaa kuu baada ya uzinduzi.
 Mgeni rasmi akipokea tuzo maalum kama ishara ya yeye kushiriki katika mkutano huo Mkuu wa tatu wa wadau wa PSPF jijini Dar es Salaam
 Naibu waziri wa Fedha Adam Malima akionesha tuzo yake
 Blogger John Bukuku akisalimina na mgeni rasmi kabla ya kukabidhiwa kadi yake ya uanachama baada ya kujiunga na Mpango Maalum wa Uchangiaji kwa hiyari.
 John Bukuku wa Fullshangwe Blog akipokea kadi yake.
 Mwandishi wa habari wa gazeti la Habarileo, Hellen Mlaki akisalimiana na mgeni rasmi kabla ya kupokea kadi yake.
 Baadhi ya wadau wa PSPF wakifuatilia matukio ya ufunguzi katika mkutano huo.
 Mzee Ali Hassan Mwinyi akifuatilia matukio Mkutanoni hapo.
 Baadhi ya viongozi wakiwakifuatilia mkutano huo.
 Burudani kutoka THT ikiendelea
 Mrisho Mpoto akighani mashairi yake
 Baadhi ya wanachama ambao ni wastaafu wakiwa nje ya ukumbi wa mikutano.
Picha ya pamoja na wakurugenzi na Mameneja wa PSPF.

No comments:

Post a Comment