Thursday, July 17, 2014

TONNY NGOMBALE MWIRU ASIMIKWA KUWA KAMANDA WA UVCCM

 Mjumbe wa kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi na Waziri  Kiongozi Mstaafu wa Zanzibar Shamsi Vuai Nahodha akimsimika Tonny Ngombale Mwiru kuwa kama wa UVCCM kata ya Kijitonyama.
 Kamanda mpya wa Umoja wa Vijana kata ya Kijitonyama Tonny Ngombale Mwiru akiwapungia mkono wanachama wa CCM mara baada ya kusimikwa kuwa kamanda wa UVCCM kata ya Kijitonyama.
 Mjumbe wa kamati kuu ya CCM ambaye pia ni waziri kiongozi wa zamani wa SMZ Shamsi Vuai Nahodha,katibu wa UVCCM kata ya Kijitonyama Fatuma  Mgeni na kamanda mpya wa UVCCM  kata hiyo Tonny Ngombale Mwiru wakifuatilia jambo.
Kamanda mpya wa UVCCM kata  ya Kijitonyama Tonny Ngombale Mwiru akitoa nasaha mara baada ya kusimikwa kushikilia nafasi hiyo.

No comments:

Post a Comment